Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 17

Mithali 17:27-28

Help us?
Click on verse(s) to share them!
27Mwenye maarifa hutumia maneno machache na mwenye ufahamu ni mtulivu.
28Hata mpumbavu hudhaniwa kuwa na busara kama akikaa kimya; wakati anapokaa amefunga kinywa chake, anafikiriwa kuwa na akili.

Read Mithali 17Mithali 17
Compare Mithali 17:27-28Mithali 17:27-28