Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 17

Mithali 17:20-22

Help us?
Click on verse(s) to share them!
20Mtu mwenye moyo wa udanganyifu hapati chochote ambacho ni chema; na mwenye ulimi wa ukaidi huanguka kwenye janga.
21Mzazi wa mpumbavu huleta majonzi kwake mwenyewe; baba wa mpumbavu hana furaha.
22Moyo mchangamfu ni dawa njema, bali roho iliyopondeka hukausha mifupa.

Read Mithali 17Mithali 17
Compare Mithali 17:20-22Mithali 17:20-22