Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 16

Mithali 16:4-12

Help us?
Click on verse(s) to share them!
4Yehova alifanya kila kitu kwa kusudi lake, hata waovu kwa ajili ya siku ya taabu.
5Yehova anamchukia kila mtu mwenye moyo wa majivuno, ingawa wanasimama imara, hawakosi kupata adhabu.
6Kwa agano la uaminifu na udhamini uovu husafishwa na kwa kumcha Yehova watu hujitenga na ubaya.
7Njia za mtu zinapompendeza Yehova, huwafanya hata adui zake huyo mtu wawe na amani naye.
8Bora kitu kidogo pamoja na haki, kuliko mapato makubwa pamoja na udhalimu.
9Katika moyo wake mtu hunuia njia yake, bali Yehova huziongoza hatua zake.
10Mshauri yupo katika midimo ya mfalme, katika hukumu kinywa chake hakisemi kwa udanganyifu.
11Vipimo vya kweli hutoka kwa Yehova; uzito wote kwenye gunia ni kazi yake.
12Wafalme wanapofanya mambo maovu, hicho ni kitu cha kudharauliwa, kwa maana utawala huimarishwa kwa kutenda haki.

Read Mithali 16Mithali 16
Compare Mithali 16:4-12Mithali 16:4-12