Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 16

Mithali 16:2-4

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2Njia zote za mtu ni safi kwenye macho yake mwenyewe, bali Yehova huipima mioyo.
3Kabidhi kwa Yehova kazi zako zote na mipango yako itafanikiwa.
4Yehova alifanya kila kitu kwa kusudi lake, hata waovu kwa ajili ya siku ya taabu.

Read Mithali 16Mithali 16
Compare Mithali 16:2-4Mithali 16:2-4