Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 16

Mithali 16:13-15

Help us?
Click on verse(s) to share them!
13Mfalme hufurahia midomo ambayo husema haki na anampenda mwenye kusema waziwazi.
14Hasira ya mfalme ni mjumbe wa mauti lakini mtu mwenye busara atajaribu kutuliza hasira yake.
15Katika nuru ya uso wa mfalme ni uzima na fadhila yake ni kama wingu linaloleta mvua ya masika.

Read Mithali 16Mithali 16
Compare Mithali 16:13-15Mithali 16:13-15