13Moyo wenye furaha husababisha uchangamfu wa uso, bali huzuni huvunja moyo.
14Moyo wa mwenye ufahamu hutafuta maarifa, bali kinywa cha wapumbavu hujilisha kwenye upuuzi.
15Siku zote za watu waliokandamizwa ni taabu, bali moyo wenye furaha unakaramu daima.