Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 14

Mithali 14:33-34

Help us?
Click on verse(s) to share them!
33Hekima hukaa katika moyo wa ufahamu, bali hata miongoni mwa wapumbavu hujiachilia mwenyewe kwa kujulikana
34Kutenda haki huliinua taifa, bali dhambi ni chukizo kwa watu wowote.

Read Mithali 14Mithali 14
Compare Mithali 14:33-34Mithali 14:33-34