Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 13

Mithali 13:8-13

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Mtu tajiri anaweza kufidia maisha yake kwa mali zake, bali mtu masikini hatapokea kitisho cha aina hiyo.
9Mwanga wa mtu atendaye haki hufurahia, bali taa ya waovu itazimika.
10Kiburi huzaa mafarakano, bali kwa wale wasikiao shauri jema kuna hekima.
11Penye majivuno mengi utajiri hufifia, bali yeye apataye pesa kwa kufanya kazi kwa mkono wake pesa zake zitaongezeka.
12Tumaini linapoachwa, huvunja moyo, bali kukamilishwa kwa shauku ni mti wa uzima.
13Yule ambaye anadharau fundisho bado atakuwa chini ya utawala wake, bali yeye ambaye anaheshimu amri atapewa thawabu.

Read Mithali 13Mithali 13
Compare Mithali 13:8-13Mithali 13:8-13