26Mwenye haki ni kiongozi kwa rafiki yake, bali njia ya waovu huwaongoza katika kupotea.
27Watu wavivu hawawezi kubanika mawindo yao wenyewe, bali mtu wenye bidii atapata mali zenye thamani.
28Wale ambao wanatembea katika njia ya haki wanapata uzima na katika mapito hayo hakuna kifo.