17Asemaye ukweli huongea ilivyo haki, bali shahidi wa uongo huongea uongo.
18Maneno yake asemaye kwa pupa ni kama kurusha upanga, bali ulimi wa mwenye hekima huleta uponyaji.
19Midomo yenye kweli itadumu milele, bali ulimi wa uongo ni kwa kitambo kidogo tu.