Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 11

Mithali 11:24-30

Help us?
Click on verse(s) to share them!
24Kuna yule ambaye hupanda mbegu- atakusanya zaidi; mwingine hapandi- huyo anakuwa masikini.
25Mtu mkarimu atafanikiwa na yule awapaye maji wengine atapata maji yake mwenyewe.
26Watu wanamlaani mtu ambaye hukataa kuuza nafaka, bali zawadi njema hufunika kichwa chake ambaye huuza nafaka.
27Yule ambaye hutafuta mema kwa bidii pia anatafuta kibali, bali yule atafutaye ubaya atapata ubaya.
28Wale wanaotumaini utajiri wataanguka, bali kama jani, wale watendao haki watasitawi.
29Yule ambaye analeta taabu kwenye kaya yake ataurithi upepo na mpumbavu atakuwa mtumishi wa wenye moyo wa hekima.
30Wale watendao haki watakuwa kama mti wa uzima, lakini vurugu huondoa uzima.

Read Mithali 11Mithali 11
Compare Mithali 11:24-30Mithali 11:24-30