Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mithali - Mithali 10

Mithali 10:21-25

Help us?
Click on verse(s) to share them!
21Midomo ya yule atendaye haki huwastawisha wengi, bali wapumbavu hufa kwa sababu ya kukosa akili.
22Zawadi njema za Yehova huleta utajiri na haweki maumivu ndani yake.
23Uovu ni mchezo achezao mpumbavu, bali hekima ni furaha kwa mtu mwenye ufahamu.
24Hofu ya mwenye uovu humkumba ghafla, bali shauku ya mwenye haki itatimizwa.
25Waovu ni kama dhoruba inayopita, na hawapo tena, bali mwenye haki ni msingi unaodumu milele.

Read Mithali 10Mithali 10
Compare Mithali 10:21-25Mithali 10:21-25