Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mhubiri - Mhubiri 9

Mhubiri 9:2-3

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2kila mmoja ana mwisho sawa. Mwisho sawa una subiria watu wenye haki na waovu, wema, walio safi na wasio safi, yeye atoaye dhabibu na yule asiye dhabihu. Kama vile watu wema watakufa wenye dhambi nao watakufa vivyo hivyo. kama vile yule anayeapa atakavyo kufa, vivyo hivyo mtu yule aogopaye kuweka kiapo naye atakufa.
3Kuna mwisho mwovu kwa kila kitu kinachofanyika chini ya jua, na mwisho kwa kila mtu. Moyo wa mwanadamu umejaa uovu, na wazimu uko katika mioyo yao wakati wanaishi. Hivyo baada ya hilo wanaenda kwa wafu.

Read Mhubiri 9Mhubiri 9
Compare Mhubiri 9:2-3Mhubiri 9:2-3