Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mhubiri - Mhubiri 8

Mhubiri 8:15-16

Help us?
Click on verse(s) to share them!
15Kwa hiyo nikapendekeza furaha, kwa sababu mtu hana jambo bora chini ya jua zaidi ya kula na kunywa na kuwa na furaha. furaha ndiyo itamfuata katika kazi zake kwa siku zote za maisha yake ambayo Mungu amempa chini ya jua.
16Nikauweka moyo wangu kufamu hekima na kufahamu kazi inayofanyika juu ya nchi, kazi ambayo inafanyika mara nyingi pasipo kufumba macho usiku au mchana.

Read Mhubiri 8Mhubiri 8
Compare Mhubiri 8:15-16Mhubiri 8:15-16