Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mhubiri - Mhubiri 6

Mhubiri 6:6-10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6Hata kama mtu akiishi miaka elfu mbili lakini hajifunzi kufuraia vitu vizuri, aenda sehemu moja kama mtu yeyote yule.
7Ingawa kazi yote ya mtu ni kujaza mdomo wake, ila hamu yake haishibi.
8Hakika ni faida gani aliyo nayo mwenye hekima kuliko mpumbavu? Ni faida gani aliyo nayo masikini hata kama anajua jinsi ya kutenda mbele ya watu?
9Ni bora kuridhika na kile ambacho macho hukiona kuliko kutamani kile ambacho hamu isiyo tulia inatamani, ambayo pia ni mvuke na kujaribu kuuchunga upepo.
10Chochote ambacho kimekuwepo, tayari kimekwisha kupewa jina lake, na vile mtu alivyo ni kama tayari amekwisha fahamika. Hivyo imekuwa haifai kugombana na yule ambaye ni muhukumu mkuu wa wote.

Read Mhubiri 6Mhubiri 6
Compare Mhubiri 6:6-10Mhubiri 6:6-10