Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mhubiri - Mhubiri 5

Mhubiri 5:1-3

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Linda mwenendo wako unapoenda kwenye nyumba ya Mungu. Nenda kule usikilize. Kusikiliza ni bora kuliko wapumbavu wanapotoa dhabihu wakati hawajuikuwa wanachofanya katika maisha ni kibaya.
2Usiwe mwepesi wa kuongea kwa mdomo wako, na usiufanye moyo wako kuleta jambo lolote kwa haraka mbele za Mungu. Mungu yuko mbinguni, lakini uko chini, kwa hiyo maneno yako yawe machache.
3Kama una mambo mengi ya kufanya na kuhangaika, pengine utapata ndoto mbaya. Na pengine utaongea maneno mengi ya upumbavu.

Read Mhubiri 5Mhubiri 5
Compare Mhubiri 5:1-3Mhubiri 5:1-3