Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mhubiri - Mhubiri 3

Mhubiri 3:3-11

Help us?
Click on verse(s) to share them!
3wakati wa kuua na wakati wa kuponya, wakati wa kubomo na wakati wa kujenga.
4Kuna wakati wa kulia na wakati wa kucheka, wakati wa kuomboleza na wakati kucheza,
5wakati wa kutupa mawe na wakati wa kukusanya mawe, wakati wa kukumbatia watu wengine wakati wa kutokumbatia.
6Kuna wakati wa kutafuta vitu na wakati wa kutotafuta, wakati wa kutunza vitu na wakati wa kuvitupa,
7wakati kuchana mavazi na wakati wa kuyashona, wakati wa kunyamaza na wakati wa kuzungumza.
8Kuna wakati wa kupenda na wakati wa kuchukia, wakati wa vita na wakati wa amani.
9Ni faida gani mfanyakazi aipatayo katika kazi yake?
10Nimeona kazi ambayo Mungu amewapa wanadamu kuitimiza.
11Mungu amefanya kila kitu kufaa kwa wakati wake. Pia ameweka umilele ndani ya mioyo yao. Lakini mwanadamu hawezi kuelewa matendo ambayo Mungu ameyafanya, tangu mwanzo wao hadi mwisho.

Read Mhubiri 3Mhubiri 3
Compare Mhubiri 3:3-11Mhubiri 3:3-11