Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mhubiri - Mhubiri 2

Mhubiri 2:6-7

Help us?
Click on verse(s) to share them!
6Nikatengeneza mabwawa ya maji ili kumwagilia msitu mahali miti ilikuwa imepandwa.
7Nilinunua watumwa wa kiume na wa kiume; nilikuwa na watumwa waliozaliwa katika ikulu yangu. Pia nikawa na makundi makubwa na wanyama wa kufugwa, zaidi ya mfalme yeyote aliyetawala kabla yangu katika Yerusalemu.

Read Mhubiri 2Mhubiri 2
Compare Mhubiri 2:6-7Mhubiri 2:6-7