Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mhubiri - Mhubiri 1

Mhubiri 1:1-4

Help us?
Click on verse(s) to share them!
1Haya ni maneno ya Mwalimu, mwana wa Daudi na mfalme katika Yerusalemu.
2Mwalimu asema hivi, “Kama mvuke wa ukungu, kama upepo mwanana katika upepo, kila kitu hutoweka na kuacha maswali mengi.
3Ni faida gani wanadamu huipata kutoka katika kazi zote wazifanyazo chini ya jua?
4Kizazi kimoja huenda, na kizazi kingine huja, lakini nchi yabaki milele.

Read Mhubiri 1Mhubiri 1
Compare Mhubiri 1:1-4Mhubiri 1:1-4