Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mhubiri - Mhubiri 12

Mhubiri 12:2-3

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2fanya hivi kabla ya nuru ya jua na mwezi na nyota havijawa giza, na mawingu kurudi baada ya mvua.
3Huo utakuwa wakati ambapo mlinzi wa ikulu atatetemeka, na wanaume imara wameinama, na wanawake wanao saga kukoma, kwa sababu ni wachache, na wale wanao chungulia dirishani hawaoni vizuri tena.

Read Mhubiri 12Mhubiri 12
Compare Mhubiri 12:2-3Mhubiri 12:2-3