Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mhubiri - Mhubiri 10

Mhubiri 10:8-12

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Yeyote anayechimba shimo anaweza kutumbukia yake, na popote mtu anayevunja ukuja, nyoka anaweza kumuuma.
9Yeyote achongaye mwawe, anaweza kuumizwa nayo. Na mtu achongaye mbao, anaweza kujihatarisha kwa hiyo.
10Kama chuma bapa kisicho na makali, na mtu hainoi, kisha ni lazima atumie nguvu nyingi, lakini hekima hutoa faida kwa ufaulu.
11Kama nyoka akiuma kabla hajafurahi, hivyo hakuna faida kwa mfurahishaji.
12Maneno ya kinywa cha mtu mwenye hekima yana huruma. Lakini midomo ya mpumbavu humumeza mwenyewe.

Read Mhubiri 10Mhubiri 10
Compare Mhubiri 10:8-12Mhubiri 10:8-12