Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mhubiri - Mhubiri 10

Mhubiri 10:2-6

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2Moyo wa mtu mwenye hekima huelekea kulia, lakini moyo wa mpumbavu huelekea kushoto.
3Wakati mpumbavu anapotembea barabarani, fikira zake zina upungufu, ikithibitisha kwa kila mtu kwamba ni mpumbavu.
4Kama jaziba za mtawala zikiinuka kinyume na wewe, usiache kazi yako. Utulivu unaweza kutuliza ukatili mkubwa.
5Kuna uovu niliouona chini ya jua, aina ya kosa ambalo huja kutoka kwa mtawala:
6Wapumbavu wanapewa nafasi za uongozi, wakati watu walio faulu wanapewa nafasi za chini.

Read Mhubiri 10Mhubiri 10
Compare Mhubiri 10:2-6Mhubiri 10:2-6