Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Mhubiri - Mhubiri 10

Mhubiri 10:13-19

Help us?
Click on verse(s) to share them!
13Kama maneno yanavyo anza kutiririka mdomoni mwa mpumbavu, ujinga hutoka, na mwisho mdomo wake hutiririka wazimu mbaya.
14Mpumbavu huongeza maneno, lakini hakuna ajuaye kinachokuja. Ni nani ajuaye baada yake?
15Jasho la wapumbavu huwavaa wao, hivyo hawajui hata barabara ya kwenda mjini.
16Ole wako ardhi kama mfalme wako ni kijana mdogo, na kama viongozi wako huanza karamu ahsubuhi!
17Lakini umebarikiwa ardhi kama mfalme wako ni mwana wa waungwana, na kama vingozi wako hula wakati muafaka, kwa nguvu, na sio kwa ulevi.
18Kwa sababu ya uvivu paa huanguka. Na kwa sababu isiyo fanya kazi nyumba hupata ufa.
19Watu huandaa chakula kwa kicheko, divai huleta furaha maishani, na fedha hutimiza hitaji kwa kila kitu.

Read Mhubiri 10Mhubiri 10
Compare Mhubiri 10:13-19Mhubiri 10:13-19