Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Matendo ya Mitume - Matendo ya Mitume 8

Matendo ya Mitume 8:29-32

Help us?
Click on verse(s) to share them!
29Roho akasema na Filipo, “Sogea karibu na gari hili ukashikamane nalo.
30“Hivyo Filipo akaenda mbio, akamsikia akisoma katika chuo cha nabii Isaya; akasema, Je unafahamu unachosoma?”
31Muethiopia akasema, “nitawezaje mtu asiponiongoza?” Akamsihi Filipo apande garini na kuketi pamoja naye.
32Sasa fungu la maandiko alilokuwa akisoma Muethiopia ni hili; Aliongozwa kama kondoo kwenda machinjioni kuchinjwa; na kama kondoo alinyamaza kimya, hakufungua kinywa chake:

Read Matendo ya Mitume 8Matendo ya Mitume 8
Compare Matendo ya Mitume 8:29-32Matendo ya Mitume 8:29-32