Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Matendo ya Mitume - Matendo ya Mitume 14

Matendo ya Mitume 14:22-28

Help us?
Click on verse(s) to share them!
22Waliendelea kuimarisha nafsi za wanafunzi na kutiwa moyo kuendelea katika imani, akasema, “Lazima tuingie katika ufalme wa Mungu kwa kupitia mateso mengi.”
23Walipo wateua kwa ajili yao wazee wa kila kusanyiko la waaminio, na wakiwa wameomba na kufunga, waliwakabidhi kwa Bwana, ambaye wao walimwamini.
24Kisha walipita katika Pisidia, walifika Pamfilia.
25Wakati walipoongea maneno katika Perga, waliteremka kwenda Atalia.
26Kutoka huko walipanda meli hadi Antiokia ambako walikuwa wamejitoa kwa neema ya Mungu kwa ajili ya kazi ambayo sasa walikuwa wameikamilisha.
27Walipofika huko Antiokia, na kulikusanya kusanyiko la pamoja, wakatoa taarifa ya mambo ambayo Mungu amefanya kwao, na jinsi alivyowafungulia mlango wa imani kwa watu wa Mataifa.
28Walikaa kwa muda mrefu na wanafunzi.

Read Matendo ya Mitume 14Matendo ya Mitume 14
Compare Matendo ya Mitume 14:22-28Matendo ya Mitume 14:22-28