Text copied!
CopyCompare
Biblia ya Kiswahili - Matendo ya Mitume - Matendo ya Mitume 11

Matendo ya Mitume 11:27-30

Help us?
Click on verse(s) to share them!
27Na katika siku hizi manabii wakashuka kutoka Yerusalemu mpaka Antiokia.
28Mmoja wao ni Agabo ndilo jina lake, akasimama akiashiriwa na Roho kuwa njaa kali itatokea ulimwenguni mwote. Hii ilitokea wakati wa siku za Klaudio.
29Kwa hiyo, wanafunzi, kila mmoja alivyo fanikiwa, waliamua kupeleka misaada kwa ndugu walioko Uyahudi.
30Walifanya hivi; Walituma pesa kwa mkono wa Barnaba na Sauli.

Read Matendo ya Mitume 11Matendo ya Mitume 11
Compare Matendo ya Mitume 11:27-30Matendo ya Mitume 11:27-30