Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 3

Matendo 3:20-21

Help us?
Click on verse(s) to share them!
20Fanyeni hivyo ili Bwana awape nyakati za kuburudika rohoni na kuwaletea yule Kristo aliyemteua ambaye ndiye Yesu.
21Ni lazima yeye abaki huko mbinguni mpaka utakapofika wakati wa kurekebishwa vitu vyote, kama Mungu alivyosema kwa njia ya manabii wake watakatifu wa tangu zamani.

Read Matendo 3Matendo 3
Compare Matendo 3:20-21Matendo 3:20-21