Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 2

Matendo 2:12-15

Help us?
Click on verse(s) to share them!
12Wote walishangaa na kufadhaika huku wakiulizana, “Hii ina maana gani?”
13Lakini wengine wakawadhihaki wakisema, “Watu hawa wamelewa divai mpya!”
14Lakini Petro alisimama pamoja na wale kumi na mmoja akaanza kuwahutubia watu kwa sauti kubwa: “Ndugu Wayahudi nanyi nyote mnaokaa hapa Yerusalemu, sikilizeni kwa makini maneno yangu.
15Watu hawa hawakulewa kama mnavyodhani; mbona ni saa tatu tu asubuhi?

Read Matendo 2Matendo 2
Compare Matendo 2:12-15Matendo 2:12-15