Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 28

Matendo 28:19-21

Help us?
Click on verse(s) to share them!
19Lakini Wayahudi wengine walipinga jambo hilo, nami nikalazimika kukata rufani kwa Kaisari, ingawa sikuwa na chochote cha kuwashtaki wananchi wenzangu.
20Ni kwa sababu hiyo nimeomba kuonana na kuongea nanyi, maana nimefungwa minyororo hii kwa sababu ya tumaini lile la Israeli.”
21Wao wakamwambia, “Sisi hatujapokea barua yoyote kutoka Yudea, wala hakuna ndugu yeyote aliyefika hapa na kutoa habari rasmi au kusema chochote kibaya juu yako.

Read Matendo 28Matendo 28
Compare Matendo 28:19-21Matendo 28:19-21