Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 28

Matendo 28:18-20

Help us?
Click on verse(s) to share them!
18Waliponihoji na kuona kwamba sikuwa na hatia yeyote, walitaka kuniacha.
19Lakini Wayahudi wengine walipinga jambo hilo, nami nikalazimika kukata rufani kwa Kaisari, ingawa sikuwa na chochote cha kuwashtaki wananchi wenzangu.
20Ni kwa sababu hiyo nimeomba kuonana na kuongea nanyi, maana nimefungwa minyororo hii kwa sababu ya tumaini lile la Israeli.”

Read Matendo 28Matendo 28
Compare Matendo 28:18-20Matendo 28:18-20