Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 1

Matendo 1:8-10

Help us?
Click on verse(s) to share them!
8Lakini wakati Roho Mtakatifu atakapowashukieni ninyi, mtajazwa nguvu na mtakuwa mashahidi wangu katika Yerusalemu, katika nchi yote ya Yudea na Samaria, na hata miisho ya dunia.”
9Baada ya kusema hayo, wote wakiwa wanamtazama, alichukuliwa mbinguni; wingu likamficha wasimwone tena.
10Walipokuwa bado wanatazama juu angani, akiwa anakwenda zake, mara watu wawili waliokuwa wamevaa nguo nyeupe walisimama karibu nao,

Read Matendo 1Matendo 1
Compare Matendo 1:8-10Matendo 1:8-10