Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 1

Matendo 1:5-6

Help us?
Click on verse(s) to share them!
5Kwani Yohane alibatiza kwa maji, lakini baada ya siku chache, ninyi mtabatizwa kwa Roho Mtakatifu.”
6Basi, mitume walipokutana pamoja na Yesu, walimwuliza, “Je Bwana, wakati huu ndipo utakaporudisha ule ufalme kwa Israeli?”

Read Matendo 1Matendo 1
Compare Matendo 1:5-6Matendo 1:5-6