Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 18

Matendo 18:16-20

Help us?
Click on verse(s) to share them!
16Basi, akawafukuza kutoka mahakamani.
17Nao wote wakamkamata Sosthene ambaye alikuwa kiongozi wa sunagogi, wakampiga palepale mbele ya mahakama. Lakini Galio hakujali kitendo hicho hata kidogo.
18Paulo alikaa bado na wale ndugu huko Korintho kwa siku nyingi. Kisha aliwaaga, akapanda meli kwenda Siria pamoja na Priskila na Akula. Huko Kenkrea, alinyoa nywele zake kwa sababu ya nadhiri aliyokuwa ameweka.
19Walifika Efeso na hapo Paulo aliwaacha Priskila na Akula, akaenda katika sunagogi, akajadiliana na Wayahudi.
20Walimwomba akae nao muda mrefu zaidi, lakini hakupenda.

Read Matendo 18Matendo 18
Compare Matendo 18:16-20Matendo 18:16-20