Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 17

Matendo 17:9-11

Help us?
Click on verse(s) to share them!
9Wakawafanya Yasoni na wenzake watoe dhamana, kisha wakawaacha waende zao.
10Usiku, wale ndugu waliwahimiza Paulo na Sila waende Berea. Mara tu walipofika huko, walikwenda katika sunagogi la Wayahudi.
11Watu wa huko walikuwa wasikivu zaidi kuliko wale wa Thesalonika. Waliupokea ule ujumbe kwa hamu kubwa, wakawa wanayachunguza Maandiko Matakatifu kila siku, ili kuona kama yale waliyosema Paulo na Sila yalikuwa kweli.

Read Matendo 17Matendo 17
Compare Matendo 17:9-11Matendo 17:9-11