Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 17

Matendo 17:14-16

Help us?
Click on verse(s) to share them!
14Wale ndugu wakamsindikiza haraka aende pwani lakini Sila na Timotheo walibaki Berea.
15Wale ndugu waliomsindikiza Paulo walikwenda pamoja naye mpaka Athene. Kisha, wakarudi pamoja na maagizo kutoka kwa Paulo kwamba Sila na Timotheo wamfuate upesi iwezekanavyo.
16Paulo alipokuwa anawasubiri Sila na Timotheo huko Athene, moyo wake ulighadhibika sana alipoona jinsi mji huo ulivyokuwa umejaa sanamu za miungu.

Read Matendo 17Matendo 17
Compare Matendo 17:14-16Matendo 17:14-16