Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 17

Matendo 17:12-14

Help us?
Click on verse(s) to share them!
12Wengi wao waliamini na pia wanawake wa Kigiriki wa tabaka la juu na wanaume pia.
13Lakini, Wayahudi wa Thesalonika walipogundua kwamba Paulo alikuwa anahubiri neno la Mungu huko Berea, walikwenda huko, wakaanza kufanya fujo na kuchochea makundi ya watu.
14Wale ndugu wakamsindikiza haraka aende pwani lakini Sila na Timotheo walibaki Berea.

Read Matendo 17Matendo 17
Compare Matendo 17:12-14Matendo 17:12-14