Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 16

Matendo 16:16-17

Help us?
Click on verse(s) to share them!
16Siku moja, tulipokuwa tunakwenda mahali pa kusali, msichana mmoja aliyekuwa na pepo mwenye uwezo wa kuagua alikutana nasi. Msichana huyo alikuwa anawapatia matajiri wake fedha nyingi kwa uaguzi wake.
17Basi, huyo msichana alimfuata Paulo na sisi, akipiga kelele na kusema, “Hawa watu ni watumishi wa Mungu Mkuu. Wanawatangazieni njia ya wokovu.”

Read Matendo 16Matendo 16
Compare Matendo 16:16-17Matendo 16:16-17