Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 15

Matendo 15:32-37

Help us?
Click on verse(s) to share them!
32Yuda na Sila, ambao nao walikuwa manabii, walizungumza na hao ndugu kwa muda mrefu wakiwatia moyo na kuwaimarisha.
33Baada ya kukaa huko kwa muda fulani, ndugu wa Antiokia waliwaaga wakiwatakia amani, kisha wakarudi kwa wale waliokuwa wamewatuma.
34Lakini Sila aliamua kubaki.
35Paulo na Barnaba walibaki huko Antiokia kwa muda; wakafundisha na kuhubiri neno la Bwana, pamoja na watu wengine wengi.
36Baada ya siku kadhaa, Paulo alimwambia Barnaba, “Turudi tukawatembelee wale ndugu katika kila mji tulikolihubiri neno la Bwana tukajionee jinsi wanavyoendelea.”
37Barnaba alitaka wamchukue pia Yohane aitwaye Marko.

Read Matendo 15Matendo 15
Compare Matendo 15:32-37Matendo 15:32-37