Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 15

Matendo 15:2

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2Jambo hili lilisababisha ubishi mkubwa, na baada ya Paulo na Barnaba kujadiliana nao, ikaamuliwa Paulo na Barnaba pamoja na waumini kadhaa wa lile kanisa la Antiokia waende Yerusalemu kuwaona wale mitume na wazee kuhusu jambo hilo.

Read Matendo 15Matendo 15
Compare Matendo 15:2Matendo 15:2