Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 14

Matendo 14:15-17

Help us?
Click on verse(s) to share them!
15“Ndugu, kwa nini mnafanya mambo hayo? Sisi pia ni binadamu kama ninyi. Na, tuko hapa kuwahubirieni Habari Njema, mpate kuziacha hizi sanamu tupu, mkamgeukie Mungu aliye hai, Mungu aliyeumba mbingu na nchi, bahari na vyote vilivyomo.
16Zamani Mungu aliruhusu kila taifa lifanye lilivyopenda.
17Hata hivyo, Mungu hakuacha kujidhihirisha kwa mambo mema anayowatendea: huwanyeshea mvua toka angani, huwapa mavuno kwa wakati wake, huwapa chakula na kuijaza mioyo yenu furaha.”

Read Matendo 14Matendo 14
Compare Matendo 14:15-17Matendo 14:15-17