Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 13

Matendo 13:42-43

Help us?
Click on verse(s) to share them!
42Paulo na Barnaba walipokuwa wanatoka katika ile sunagogi, wale watu waliwaalika waje tena siku ya Sabato iliyofuata, waongee zaidi juu ya mambo hayo.
43Mkutano huo ulipomalizika, Wayahudi wengi na watu wa mataifa mengine waliokuwa wameongokea dini ya Kiyahudi waliwafuata Paulo na Barnaba. Hao mitume waliongea nao, wakawatia moyo waendelee kuishi wakitegemea neema ya Mungu.

Read Matendo 13Matendo 13
Compare Matendo 13:42-43Matendo 13:42-43