Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 13

Matendo 13:37-40

Help us?
Click on verse(s) to share them!
37Lakini yule ambaye Mungu alimfufua kutoka wafu hakupata kuoza.
38Jueni wazi, ndugu zangu, kwamba ujumbe kuhusu kusamehewa dhambi unahubiriwa kwenu kwa njia ya Yesu Kristo;
39na ya kwamba kila mmoja anayemwamini Yesu anasamehewa dhambi zote, jambo ambalo halingewezekana kwa njia ya Sheria ya Mose.
40Jihadharini basi, msije mkapatwa na yale yaliyosemwa na manabii:

Read Matendo 13Matendo 13
Compare Matendo 13:37-40Matendo 13:37-40