Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 13

Matendo 13:12-14

Help us?
Click on verse(s) to share them!
12Yule mkuu wa kisiwa alipoona hayo, aliongoka akawa muumini; akastaajabia sana mafundisho aliyosikia juu ya Bwana.
13Kutoka Pafo, Paulo na wenzake walipanda meli wakaenda hadi Perga katika Pamfulia; lakini Yohane (Marko) aliwaacha, akarudi Yerusalemu.
14Lakini wao waliendelea na safari toka Pisga hadi mjini Antiokia Pisidia. Siku ya Sabato waliingia ndani ya Sunagogi, wakakaa.

Read Matendo 13Matendo 13
Compare Matendo 13:12-14Matendo 13:12-14