Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 13

Matendo 13:10-11

Help us?
Click on verse(s) to share them!
10akasema, “Mdanganyifu wa kupindukia na mlaghai wewe! Wewe ni mtoto wa Ibilisi! Wewe ni adui wa chochote kile kilicho cha kweli; hukomi hata mara moja kujaribu kuzipotosha njia za Bwana zilizonyoka.
11Sasa, mkono wa Bwana utakuadhibu: utakuwa kipofu na hutaweza kuuona mwanga wa jua kwa kitambo.” Mara kila kitu kikawa kama ukungu na giza kwake, akaanza kwenda huku na huku akitafuta mtu wa kumshika mkono amwongoze.

Read Matendo 13Matendo 13
Compare Matendo 13:10-11Matendo 13:10-11