Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 12

Matendo 12:13-15

Help us?
Click on verse(s) to share them!
13Petro alibisha mlango wa nje na mtumishi mmoja msichana aitwaye Roda, akaenda mlangoni kuitikia.
14Huyo msichana aliitambua sauti ya Petro akafurahi mno, hata badala ya kuufungua ule mlango, akakimbilia ndani na kuwaambia kwamba Petro alikuwa amesimama nje mlangoni.
15Wakamwambia yule msichana, “Una wazimu!” Lakini yeye akasisitiza kwamba ilikuwa kweli. Nao wakamwambia, “Huyo ni malaika wake.”

Read Matendo 12Matendo 12
Compare Matendo 12:13-15Matendo 12:13-15