Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 11

Matendo 11:22-24

Help us?
Click on verse(s) to share them!
22Habari ya jambo hilo ikasikika kwa lile kanisa la Yerusalemu. Hivyo wakamtuma Barnaba aende Antiokia.
23Alipofika huko na kuona jinsi Mungu alivyowaneemesha wale watu, alifurahi na kuwahimiza wote wadumu katika uaminifu wao kwa Bwana.
24Barnaba alikuwa mtu mwema na mwenye kujaa Roho Mtakatifu na imani. Kundi kubwa la watu lilivutwa kwa Bwana.

Read Matendo 11Matendo 11
Compare Matendo 11:22-24Matendo 11:22-24