Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 10

Matendo 10:40-43

Help us?
Click on verse(s) to share them!
40lakini Mungu alimfufua siku ya tatu, akamfanya aonekane
41si kwa watu wote ila kwa wale Mungu aliokwisha wachagua wawe mashahidi wake, yaani sisi tuliokula na kunywa pamoja naye baada ya kufufuka kwake kutoka wafu.
42Alituamuru kuihubiri Habari Njema kwa watu wote na kushuhudia kwamba yeye ndiye aliyeteuliwa na Mungu awe Mwamuzi wa wazima na wafu.
43Manabii wote waliongea juu yake kwamba kila mtu atakayemwamini atasamehewa dhambi zake zote kwa jina lake.”

Read Matendo 10Matendo 10
Compare Matendo 10:40-43Matendo 10:40-43