Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 10

Matendo 10:27-28

Help us?
Click on verse(s) to share them!
27Petro aliendelea kuongea na Kornelio wakiwa wanaingia nyumbani ambamo aliwakuta watu wengi wamekusanyika.
28Petro akawaambia, “Ninyi wenyewe mnajua kwamba Myahudi yeyote amekatazwa na Sheria yake ya dini kushirikiana na watu wa mataifa mengine. Lakini Mungu amenijulisha nisimfikirie mtu yeyote kuwa najisi au mchafu.

Read Matendo 10Matendo 10
Compare Matendo 10:27-28Matendo 10:27-28