Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 10

Matendo 10:2-3

Help us?
Click on verse(s) to share them!
2Alikuwa mtu mwema; naye pamoja na jamaa yake yote walimcha Mungu; alikuwa anafanya mengi kusaidia maskini wa Kiyahudi na alikuwa anasali daima.
3Yapata saa tisa mchana, aliona dhahiri katika maono malaika wa Mungu akiingia ndani na kumwambia, “Kornelio!”

Read Matendo 10Matendo 10
Compare Matendo 10:2-3Matendo 10:2-3