Text copied!
CopyCompare
Biblia Takatifu - Matendo - Matendo 10

Matendo 10:10-12

Help us?
Click on verse(s) to share them!
10Aliona njaa, akatamani kupata chakula. Chakula kilipokuwa kinatayarishwa, alipatwa na usingizi mzito akaona maono.
11Aliona mbingu zimefunguliwa na kitu kama shuka kubwa inateremshwa chini ikiwa imeshikwa pembe zake nne.
12Ndani ya shuka hiyo kulikuwa na kila aina ya wanyama: wanyama wenye miguu minne, wanyama watambaao na ndege wa angani.

Read Matendo 10Matendo 10
Compare Matendo 10:10-12Matendo 10:10-12